Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Masaibu ya nzige Kenya
Nzige limekua ni tatizo kubwa kwa wakulima katika baadhi ya maeneo nchini Kenya, huku wakulima wakihofia kuwa wadudu hao waharibifu wanaweza kusababisha njaa na umaskini. Mwandishi wa BBC Anne Soy alitembelea katika Kaunti ya Turkana kushuhusia hali ilivyo.