Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Maandamano ya George Floyd yasambaa hadi Uarabuni
Kifo cha George Floyd nchini Marekani kimetoa msukumo kwa Waarabu weusi kuandamana katika mataifa yao dhidi ya ubaguzi wa rangi na unyanyapaa. Wakosoaji nchini Tunisia wamesema ubaguzi wa rangi umeendelea kupuuzwa.