Wakimbizi wa Rohingya 'walazimika kunywa maji ya bahari kuokoa maisha' baada ya kufurushwa

Taifa la Malaysia lililifurusha boti lililokuwa limebeba mamia ya wakimbizi wa Rohingya , likihofia maambukizi ya virusi vya corona .

Kufikia muda ambapo boti hilo liliokolewa na walinzi wa pwani ya Bangladesh , kati ya wakimbizi 20 hadi 50 walikuwa wamefariki.

Na bado wengine wanaaminika kukwama baharini wakitafuta bandari ilio salama