Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Wakimbizi wa Rohingya 'walazimika kunywa maji ya bahari kuokoa maisha' baada ya kufurushwa
Taifa la Malaysia lililifurusha boti lililokuwa limebeba mamia ya wakimbizi wa Rohingya , likihofia maambukizi ya virusi vya corona .
Kufikia muda ambapo boti hilo liliokolewa na walinzi wa pwani ya Bangladesh , kati ya wakimbizi 20 hadi 50 walikuwa wamefariki.
Na bado wengine wanaaminika kukwama baharini wakitafuta bandari ilio salama