Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Virusi vya corona: Serikali ya Ecuador inavyopambana kuzika waliofariki
Juma moja baada ya picha za miili ikiwa imezagaa mitaani nchini Ecuador kushika kasi kwenye vichwa vya habari, familia bado zinasubiri kuwazika wapendwa wao.
Mlipuko wa virusi vya corona mjini Guayaquil umefanya mji huo kuwa mji ulioathirika vibaya zaidi na maambukizi katika eneo la Amerika Kusini.
Tahadhari: Baadhi ya picha ni za kuogopesha