Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Daktari wa Wuhan aliyewapoteza wagonjwa watano usiku mmoja
BBC imezungumza na daktari ambaye amekua akipamabana na virusi vya corona katika jimbo la Hubei ambako mlipuko ulianzia.