Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Jamii ya El-molo yahofia lugha yao itapotea
Jamii ya El-molo inayoishi katika kisiwa cha Kometi katika ziwa Turkana kaskazini mwa Kenya inahofia lugha yao huenda ikapotea.
Baadhi ya wazee katika jamii hiyo wanasema kinamama wanakaa muda mrefu kabla ya kupata ujauzito mwingene. Idadi yao pia imekuwa ndogo baada ya kuawa katika vita wanapozozozana na jamii zingine.