Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Je unachukua hatua gani kukabiliana na vitendo vya ubakaji kwenye jamii yako?
Katika haba na haba wiki hii, tunaangazia swala la ubakaji nchini Tanzania, ambapo kwa mujibu wa takwimu za taifa (NBS ) zinaonesha Kuongezeka kwa kuripoti visa vya ubakaji amabapo mwaka 2005 viliripotiwa visa zaidi ya 5000, na hadi kufikia mwaka 2017 vimeripotiwa visa zaidi ya 7000. Sasa tunahoji je unachukua hatua gani kukabiliana na vitendo vya ubakaji katika eneo lako?