Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Wahamiaji wa Afrika wanaosafiri katika msitu hatari kujaribu kuingia Marekani.
Darien Gap ni msitu mojawapo hatari duniani - uliojaa walanguzi, wezi na wanyama hatari.
Basi kwanini maelfu ya waafrika wanajaribu kuuvuka msitu huu Amerika kusini?
Mwandishi wa BBC Catherine Byaruhanga amejiunga na msafara huo.
Mpiga Video: Mohamed Madi
Mzalishaji: Alejandro Millan