Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Ajali Morogoro: Walioathiriwa wawatafuta wapendwa wao Morogoro
Mwandishi wa BBC Aboubakar Famau ambaye yuko katika eneo la tukou anaripoti kuwa wakazi walio na hofu huenda wamepoteza wapendwa wao wamekusanyika karibu na eneo la tukio kujulia hatma ya wapendwa wao.
''Nimempigia ndugu yangu simu ambaye ni mwendesha piki piki lakini hapokei simu'' alisema mmoja wao