Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Utawala wa kijeshi wazima jaribio la mapinduzi Sudan - kunani?
Utawala wa mpito unaoongoza kijeshi nchini Sudan umesema umezima jaribio la mapinduzi nchini humo.
Akitangaza kupitia Televisheni ya Taifa ya nchi hiyo, msemaji wa Jeshi Jenerali Jamal al-Din Omar Ibrahim amesema maafisa kadhaa wa jeshi wamekamatwa, akiwemo kiongozi wa jaribio hilo.
Taarifa zaidi na Peter Mfalila.