Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Raphael Ongangi: Mkewe Mkenya aliyetekwa nyara Tanzania na kupatikana Mombasa azungumza
Anasema kwamba alihisi kama alivyohisi siku ya ndoa yake alipokutana na mumewe.
Kwa mujibu, wa taarifa zilizoripotiwa na vyombo vya habari nchini Kenya na Tanzania, watu wasiojulikana waliwafuatilia wanandoa hao na kisha kulizuia gari yao na kumchukua bwana huyo na kuondoka naye.