Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
AFCON 2019: Wanawake wanafurahia fursa ya 'kudumisha ndoa'
Mashindano ya kandanda yanavyozidi kuendelea nchini Misri, kule pwani ya Kenya miongoni mwa wanawake nao wanazidi kufurahia fursa wanayotaja kuwa ya 'kudumisha ndoa zao'. Baadhi kama Hassanati Swaleh wanasema waume zao hawatoki nje kutazama mechi hizo.
Video; John Nene