Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Dhulma katika kituo cha kurekebishia tabia
Mwaka jana, BBC Africa Eye iliangazia dhulma zinazofanyika katika vituo vya kurekebishia tabia jijini Nairobi Kenya.
Kwa kutumia kamera za siri BBC ilifanikiwa kunasa mambo yanayoendelea katika vituo hivyo ambavyo havijasajiliwa na kufichua aina fulani ya uponyaji wa kidini ambao ni maarufu sana miongoni jamii ya wasomali.
Maryam Dodo Abdalla anasimulia jinsi uchunguzi huo ulivyofichua dhulma katika vituo hivyo.