Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
BBC Africa Eye: Wizi wa madawa wafichuliwa Uganda
Hebu fikiria, kuishi katika nchi ambako madaktari na maafisa wa madawa wanaiba dawa zinazookoa maisha, na zilizolengwa kupewa wagonjwa - ulafi wa wahudumu wa afya unaozidi wajibu wao wa kuwajali wagonjwa.
BBC Africa Eye imefanya upekuzi nchini Uganda kufichua jinsi wafanyakazi wa afya nchini humo walivyojitosa katika mitandao ya uhalifu.