Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Rais wa zamani wa Tanzania Jakaya Kikwete amewahutubia waombolezaji nyumbani kwa Mengi
Rais mstaafu wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete ameitembelea familia ya Bwana Regnald Mengi aliyefariki dunia mjini Dubai wiki hii, ambapo ameiomba familia ya marehemu Regnald kuwa na subra. Alitumia fursa hiyo kutoa hotuba fupi kwa waombolezaji waliokuwa nyumbani kwa marehemu Mengi jijini Dar es salaam.