Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Anne-Marie alipoteza watoto wake wanne na mumewe wakati wa mauaji ya kimbari
Anne-Marie alipoteza watoto wake wanne na mumewe wakati wa mauaji ya kimbari nchini Rwanda.Mwanaume mmoja kwa jina Celestin alivamia nyumbani kwa Anne-Marie na washambuliaji na kuwaua watoto wake wawili.
Washambuliaji walikua na marungu na mapanga.Celestin alichomoa panga na kukata shingo za watoto wawili.
Pamoja na aliyoyapitia Anne-Marie,Kasisi wa kikatoliki alimshawishi Anne-Marie kumsamehe Celestin.
Celestin amejutia dhambi aliyoifanya.