Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Shambulio katika misikiti New Zealand: Ambulensi zawasili Hospitali
Risasi zimesikika karibu na mskiti wa Al Noor katika mji wa Christchurch, New Zealand, vyombo vya habari vinaripoti wakatipolisi wakionya kuhusu "tukio kuu".
Walioshuhudia wanasema wameona watu kadhaa wameuawa. Polisi imewaonya watu kuepuka kufika katika eneo hilo.