Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Mauaji Njombe: "Matumaini ya mama yaliokatizwa kwa mwanawe aliyeazimia kuwa Daktari
Goodluck, mwenye umri wa miaka 5, ni miongoni mwa watoto sita waliouawa huko Njombe kusini magharibi mwa Tanzania. Mamake Hellen Bryson amemuelezea mwandishi wa BBC Leonard Mubali kwamba mwanawe aliazimia kuwa daktari akiwa mkubwa. Sasa matumaini hayo yamekatizwa: