Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Abul Bajandar: Mtu anayemea 'mizizi' mwilini
Abul Bajandar anajulikana sana kama 'tree man'''. Ana ugonjwa usio wa kawaida unaohusisha jeni kwa jina
epidermodysplasia verruciformis.