Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Mbilikimo waliteswa sana na Wabelgiji na wameendelea kuishi kijadi DRC
Kwenye kingo za Mto Congo, baadhi ya walioteswa zaidi na kufanyiwa unyama usioelezeka chini ya utawala wa Mfalme Leopold walikuwa ni watu wa jamii ya mbilikimo waliolazimishwa kuvuna raba kutoka kwenye miti msituni.
Mbilikimo bado huishi msituni wakiwinda wanyama, na kuchuma matunda ya porini.