Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Polisi wa Ujerumani walazimika kufunga barabara baada ya pesa kupeperuka.
Polisi huko Ujerumani walazimika kufunga barabara kuu baada ya pesa kupeperushwa hewan na upepo .Wanasema huenda mwenye pesa hizo aliweka mkoba uliokuwa na pesa juu ya gari kisha akasahau na kuendesha. Je, ukipatana na pesa barabarani utafanyaje?