Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Papa Francis awakemea makasisi waovu
`Wasiwasi` mkubwa umemkumba Papa Francis wa Vatican kuhusiana na ongezeko la matendo ya ulawiti, miongoni mwa makasisi wa kanisa Katoliki. Sasa anawaomba makasisi wake kufuata wito wao wa useja.
Je! Useja unafaa kuwa miongoni mwa masharti kwa makasisi wa kisasa?
Tuwasiliane kwenye Facebook BBCSwahili.com