Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
UN:Wanawake 137 huuawa kila siku duniani kutokana na mzozo ya kinyumbani
Wanawake 137 huuawa kila siku ulimwenguni kutokana na mizozo ya kinyumbani kulingana na kitengo cha Ofisi ya Umoja wa Mataifa kuhusu Dawa za Kulevya na Uhalifu (UNODC).
Je, kwa nini wanawake wapoteze maisha yao katika majumba yao?