Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Mafuriko: Adha ya mvua pwani ya Kenya
Maeneo kadha wa kadha nchini Kenya hutazama mvua kama baraka kwa kuwa maji yatokanayo na mvua hizo ni muhimu kwa matumizi ya binaadamu, hasa kwa ajili ya umwagiliaji kwenye mazao.Lakini tayari wengine wamelalamika kuhusu mafuriko yatokanayo na mvua hizo zinazodaiwa kuhatarisha maisha ya wakazi.
Jamhuri Mwavyombo amezungumza na Mkurugenzi wa Bodi ya Taifa ya Mazingira Kaunti ya Mombasa Steven Wambua kuhusu hali hiyo