Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
MV Nyerere Tanzania: Hali ilivyo mwezi mmoja baada ya ajali
Ni mwezi mmoja sasa tangu kuzama kwa kivuko cha Mv Nyerere, huko ziwa Victoria, kaskazini magharibi mwa Tanzania, ajali ambayo ilisababisha vifo vya watu zaidi ya 200.
Lakini hali ya usafiri na usalama wa majini imebadilika kwa namna yoyote tangu kutokea kwa ajali hii?
Picha: Eagan Salla