Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Mzee Yusuph: Miaka 4 baada ya kuachana na Taarab je uamuzi ulikuwa wa sawa?
Ni miaka minne sasa tangu aliyekuwa msaanii maarufu wa muziki wa mwambao wa pwani yaani taarabu kuachana na muziki huo. Mzee Yusuph sasa anaimba Qaswida zenye maudhui ya dini ya kiislam kwa lengo la kumwabudu Mungu. Hali imekuwaje mpaka sasa? amezungumza na BBC Swahili