Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Mjasiriamali anayekuza wavumbuzi wa siku zijazo nchini Ghana
Kutana na mjasiriamali kijana ambaye ana lengo la kuhakikisha watoto shuleni nchini Ghana wanaweza kutimiza ndoto zao za kuwa wanasayansi na wahandisi.
Charles Ofori Antipem amevumbua kitabu cha sayansi kilicho na ukubwa na bei ya kitabu cha maandishi ambacho anatumai kuwasambazia watoto kote barani Afrika.
Kufikia sasa amefanikiwa kuuza takriban vifaa 5000 kama hivyo katika shule mbali mbali nchini humo.