Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Siku ya kuadhimisha tai duniani: Sita kati ya tai wanane wako katika tishio la kuangamia
Leo ni siku ya kuadhimisha tai duniani.Nchini Kenya tai sita kati ya wanane wako katika hatari ya kuangamia, na kundi moja la Wakenya wa wakfu wa 'The Peregrine Fund' wameanza juhudi za kuwalinda ndege hao hatua iliowafanya kutambulika duniani.