Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Wanafunzi 4 wa Uganda wavumbua mbinu ya aina yake ya kutambua Malaria
Takriban nusu ya idadi ya watu duniani wamo katika hatari ya kuugua Malaria. Ni ugonjwa unaowaua takriban watu nusu milioni kila mwaka. Lakini wanafunzi wanne wa Uganda wamevumbua kifaa hichi cha ukaguzi kinachotajwa kuwa hatua muhimu katika vita dhidi ya Malaria katika miaka ya hivi karibuni.