Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Air Tanzania: Je shirika hili la ndege litakabiliana na hali gani ya kibiashara Tanzania ?
Tanzania, kama ilivyo kwa nchi zingine kama Zambia, Zimbabwe, Nigeria na Uganda, imeamka na kutaka kufufua shirika lake la ndege, ama kama lijulikanavyo, Air Tanzania. Uwekezaji mkubwa umefanywa mpaka sasa katika kufanikisha hilo, lakini moja ya maswali yanayoulizwa ni kwamba, ni hali gani hasa ya biashara ambayo Air Tanzania itaenda kukumbana nayo?
Mwandishi wetu Sammy Awami kutoka Dar es Salaam ametuandalia taarifa hii