Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Jivunie Mbunda anazungumzia kukataliwa kwasababu ya ulemavu Tanzania
Jivunie Mbunda ni mwanamume mwenye ulemavu Tanzania. Amemuoa Bahati Ramadhani tangu Mei mwaka huu. Hatahivyo kabla ya kupata upendo na furaha hii - anakiri haikuwa rahisi kwani aliwahi kukataliwa zaidi ya mara kumi kutokana na ulemavu wake. Anazungumzia changamoto za mlemavu kukubalika katika jamii Tanzania alipokutana na mwandishi wa BBC Eagan Salla.