Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Global Newsbeat: Mitandao ya kijamii hubadilisha tabia ya mtu
Mwanasayansi Jaron Lanier amesema watu wanastahili kufuta akaunti zao za mitandao ya kijamii ili kupanua mawazo yao ya kimaisha.
Mitandao ya kijamii imebadilisha mienendo yako?
Tuwasiliane kwenye Facebook BBCSwahili.com