Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Rastafari wa Mwanza, Tanzania ambao wana itikadi za kipekee
Katika mji wa Mwanza, kaskazini magharibi mwa Tanzania huwa kuna jamii ya wafuasi wa itikadi za Rastafari ambao huandaa ibada kila Jumamosi.
Hukusanya sadaka na baadaye huwagawia maskini na watu wasiojiweza katika barabara za mjii huo.
Mwandishi wa BBC Eagan Salla alikutana nao na kuandaa taarifa hii.