Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
GNB: Bilionea aomba hifadhi Uingereza
Bilionea mmoja raia wa India,Nirav Modi anayetuhumiwa kuhusika katika kashfa kubwa ya wizi wa pesa katika mabenki makubwa nchini India, sasa anaomba hifadhi ya ukimbizi wa kisiasa nchini Uingereza.
Je, bilionea huyo anastahili kupewa hifadhi nchini Uingereza?
Tuwasiliane kwenye Facebook BBCSwahili.com