GNB: Bilionea aomba hifadhi Uingereza

Maelezo ya sauti, Habari za Global Newsbeat 1000 11/06/2018

Bilionea mmoja raia wa India,Nirav Modi anayetuhumiwa kuhusika katika kashfa kubwa ya wizi wa pesa katika mabenki makubwa nchini India, sasa anaomba hifadhi ya ukimbizi wa kisiasa nchini Uingereza.

Je, bilionea huyo anastahili kupewa hifadhi nchini Uingereza?

Tuwasiliane kwenye Facebook BBCSwahili.com