Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Prince Harry na Markle: Mtanzania aliyetoka Cardiff kufika kwa harusi Windsor
Mwandishi na mtandazaji wa BBC Salim Kikeke alikutana na Mtanzania Justina John aliyekuwa amesafiri kutoka jijini Cardiff, Wales hadi Windsor kufuatilia yanayojiri harusi ya Mwanamfalme Harry na Bi Meghan Markle.
Nini kilichomvutia?