Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Kwa nini wanaume wanaogopa damu ya hedhi?
Wanaume katika mtaa wa mabanda Kibera Nairobi Kenya wanajaribu kubadili mtazamo kuhusu hedhi kwa wanawake. Joshua Omanya, alikuwa mfungwa nchini na sasa huwahamasisha vijana kuhusu hedhi na hutoa visodo na vikombe vya hedhi kwa wasichana masikini katika mitaa ya mabanda Kenya.