Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Kwa Picha: Safari ya Odinga ya kwenda kuapishwa
Kiongozi wa Upinzani Raila Odinga amekuwa akisisitiza kwamba ataendelea na mpango wake wa kuapishwa kuongoza Kenya baada yake kutangaza kwamba hamtambui Bw Uhuru Kenyatta kama kiongozi aliyechaguliwa kwa njia halali.