Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Wakimbizi Uganda wawasaidia waathiriwa wa ubakaji
Wakimbizi wa mataifa mabalimbali nchini Uganda wameandaa tamasha la muziki na maonesho ya kazi za mikono kwa nia ya kuwasaidia wenzao walio na matatito zaidi sana wasichana na akina mama wanaofanyiwa vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia.
Tamasha hilo limeandaliwa na kikundi cha wasanii wakimbizi wanaojiita FAARU. Mwandishi wetu Issaac Mumena anaarifu