Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Mavazi ambayo yametengenezwa kwa kutumia mipira ya kinga yaani Kondomu
Nchini DRC mjini Kinshasa, kuna mwanadada mmoja mbunifu wa mavazi ambaye sasa ametengeneza mavazi kwa kutumia mipira ya kinga yaani Kondomu.
Lengo lake ni kuelimisha jamii juu ya Virusi vya UKIMWI kwa kuwa bado jamii haiko tayari kuzungumzia matumizi ya Kondomu.
Mwandishi wa BBC,Mbelechi Msochi alikutana na msichana huyu na hii hapa ni taarifa yake.