Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Ruto: Tuko tayari kuzungumza na Odinga
Naibu Rais wa Kenya William Ruto amesema kuwa chama cha Jubilee kiko tayari kufanya kikao na kiongozi wa upinzani Raila Odinga, ili nchi iweze kusonga mbele baada ya uchaguzi wa marudio uliokumbwa na utata.