Ruto: Tuko tayari kuzungumza na Odinga
Naibu Rais wa Kenya William Ruto amesema kuwa chama cha Jubilee kiko tayari kufanya kikao na kiongozi wa upinzani Raila Odinga, ili nchi iweze kusonga mbele baada ya uchaguzi wa marudio uliokumbwa na utata.
Naibu Rais wa Kenya William Ruto amesema kuwa chama cha Jubilee kiko tayari kufanya kikao na kiongozi wa upinzani Raila Odinga, ili nchi iweze kusonga mbele baada ya uchaguzi wa marudio uliokumbwa na utata.