Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Maandamano kushutumu al-Shabab Mogadishu, Somalia
Wakazi waliandamana mji mkuu wa Somalia, Mogadishu kushutumu shambulio la Jumamosi lililosababisha vifo vya watu zaidi ya 300.