Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Joyce Shujaa ni mwalimu mlemavu nchini Tanzania,anayefundisha akiwa amelala kitandani
Kama lilivyo jina lake, Joyce Shujaa ni mwalimu shujaa mlemavu nchini Tanzania anayefundisha akiwa amelala kitandani.
Baada ya kupata ajali na kushindwa kutembea, alitumia fursa ya ukarimu wake kwa watoto na sasa anafundisha watoto wadogo katika chumba kidogo nyumbani kwake.
David Nkya alimtembelea na kuandaa taarifa ifuatayo.