Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Kufikia sasa watu 24 wamefariki kutokana na vurugu za baada ya uchaguzi nchini Kenya
Tume ya kitaifa ya kutetea haki za kibinadamu, KNCHR inasema kufikia sasa watu 24 wamefariki kutokana na vurugu za baada ya uchaguzi nchini Kenya. Naibu Mwenyekiti George Morara anasema tume hiyo ina waangalizi 264 ambao wamekuwa wanafuatilia matukio ya baada ya uchaguzi katika kaunti 37 na wao ndio wamekuwa wakiwapa takwimu hizo .