Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Wapiga kura waliolala katika vituo vya kupigia kura Kenya
Baadhi ya wapiga kura katika kituo cha Shule ya msingi ya Moi Avenue jijini Nairobi walionelea heri kulala vituoni badala ya kujipanga kuamka asubuhi na mapema.
Vituo vilikuwa vinafunguliwa saa kumi na mbili lakini baadhi walifika saa moja jioni Jumatatu na kukesha.