Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Odinga: Natarajia kupata ushindi mkubwa Kenya
Raila Odinga anawania urais kwa mara ya nne nchini Kenya katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Jumanne tarehe 8 Agosti.
Anashindana na Rais Uhuru Kenyatta ambaye alimshinda uchaguzi wa mwaka 2013.
Wakati huu Bw Odinga amesema anatarajia kupata ushindi mkubwa.
Amezungumza na mwandishi wa BBC Ferdinand Omondi.