Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Habari za Global Newsbeat 1500 03/08/2017
Muuguzi mmoja raia wa Australia amekutwa na hatia kwa kuendesha biashara ambayo inakatazwa nchini Cambodia ya mwanamke kubebewa ujauzito na mwanamke mwingine. Tammy Davis-Charles amehukumiwa na mahakama ya nchi hiyo, kifungo cha miezi 18 gerezani.
Je, ni vibaya kumsaidia mwanamke mwengine kubeba ujauzito?
Tujadiliane kwenye Facebook bbcswahili.com