Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Serikali yapiga marufuku viroba Tanzania
Tanzania imeanza kutekeleza agizo la serikali la kupiga marufuku pombe aina ya viroba.
Mwandishi wetu Shemdoe aliyeko huko mjini Arusha amezungumza na baadhi ya vijana ambao walikuwa wakitumia pombe hiyo iliyo katika viroba na kutaka kujua mitazamo yao