Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Wahudumu wa afya marufuku kutumia simu kazini Rwanda
Wahudumu wa afya nchini Rwanda wameonywa kutokuingia tena kazini na simu za mkononi kuanzia tarehe mosi mwezi Machi.
Waziri wa Afya Dkt Diane Gashumba amesema kuwa hatua hiyo inalenga kuinua huduma kwa wagonjwa kutokana na utafiti kuonesha kuweko kwa huduma duni kunakosababishwa na matumizi ya simu binafsi kazini.
Zaidi na John Gakuba.